LIFESTYLE

 

Njia 6 za kumjua msichana ambaye hakupendi

Njia 6 za kumjua msichana ambaye hakupendi

1. Anakataa kukupa namba mara ya kwanza
Ikiwa msichana hataki kukupa namba yake ya simu

 Unapomuomba mara ya kwanza, jua ya kwamba hakutaki. 

Ikiwa atakupa, itachukua muda kufanya hivyo,

 jua kuwa hataki mambo yako, hivyo ni bora kukoma

 mapema kwa sababu mtasumbuana bure tu.

2. Amekupa namba isiyo yake
Msichana akifanya hivi huhitaji kungoja sana kujua

 kuwa hapendezwi nawe. Kushinda ukimfuata

 itakuumiza bure tu kwani simu zako zitakuwa

 zikichuliwa na mtu mwingine. 

Huenda akalaumu mfumo mbaya ya mawasiliano.


3. Hapokei simu unapompigia
Unangoja nini kujua hakutaki? Ikiwa msichana

 atachukua simu mara moja unapopiga, jua ya kuwa

 anakupenda na ni ishara kuwa mtakuwa marafiki.

 Lakini akichukua muda kujibu, kimbia.

4. Hakutembelei
Ikiwa hatembei kwako, basi ni ishara kwamba 

hataki kukuona. Hakuna haja ya kumfuatafuata.

5. Ukisikia marafiki wake wakicheka unapompigia simu
Ikiwa atafanya hivyo, hiyo ni tahadhari, huenda

 anakudharau. Utangoja mpaka akuvunje moyo?

 Endelea na maisha yake, utapata mwingine anayekupenda.

6. Anapotumia pesa zako ovyo ovyo “Baadhi ya 

wanawake sio wema”. 
Licha ya kuamua kutokuwa na uhusiano wowote nao, 

wanapenda tu kutumia wanaume vibaya kwa 

kuwasaidia kuharibu pesa zao walizofanyia kazi kwa bidii.

Ikiwa hakupendi, ataandamana na marafiki wake 

wote unapomualika na kukufanya kutumia pesa 

zaidi ya ulivyokuwa umepanga.

Previous Post Next Post